Saturday, June 27, 2015

Ni kitu gani wanahitaji liverpool wawe bora 2015/16

Liverpool imekalisha usajili wa kiungo mshambualiji kutoka hoffehm ya ujermani ambaye ameungana na James Milner kati ya wachezaji wapya waliosjailiwa katika timu hiyo, Firmino 23, anaweza kucheza namba zote zote za mbele akiwa kama fowadi, wing-midfilder na kiungo mshambuliaji.

Liverpool sasa itakuwa na James milner, Daniel Sturridge, Divock Origi, Phillipe Coutinho, Roberto Firmino na Raheem Sterling kama hatoondoka klabuni hao wote wanategemewa kuongoza safu ya ushambuliaji katika kikosi cha brendan rodgers. kutokana mahitaji ya breandan rodgers ina wezekana akafanikiwa katika msimu ujao wa ligi kutoka na wachezaji hao wote kuwa na kasi katika kushambulia kama anavyohitaji.

Lakini liverpool haitakuwa na steven gerrard msimu mpya hivyo inabidi wapate kiungo mkabaji mwingine ambaye ataweza kudumisha ulinzi wa timu hiyo, hicho ni kibarua kigumu kwa Rodgers ingawa amekuwa na mipango ya kumsajili kiungo makabajji wa tiu ya real madrid Asier Illaramendi.

Licha ya safu ya kukaba lakini rodgers bado anahitaji mbadala wa Suarez, msimu wa 2014/15 umeonyesha ni namna gani Sturridge anahitaji mtu wa kumwongoza katika safu ya kushambulia kama ilivyokuwa yeye na Suarez, na ndiyo maana Rogers anaisaka kwa udi na uvumba sahihi ya mshambuliaji wa sevilla Carlos Bacca huku akiendelea kuifuatilia sahihi ya mshambuliaji wa Aston villa Christian Benteke kwa ajili ya kuimalisha safu a ushambuliaji katika timu hiyo ambayo haikufanya vizuri kama alivyokuwa Suarez.

Kama Liverpool itakuwa na kiungo imara kama enzi ya Mascherano na kupata mshambuliaji mkali kama Carlos Bacca nadhani tatizo la Liverpool litakuwa limeisha rasmi nahitaji maoni yako msomaji kwa upande wangu nadhani Liverpool inatkiwa kuziba mapengo hayo ili iweze kurudi kwenye ubora wake.


fabian delph ni chaguo sahihi man city?

City haitegemei kuwa na Lampard, ukimwangalia yaya toure umri unazidi kwenda, fernado ni mzito si rahis kumudu aina ya mpira ya viungo wepesi zaidi hususani wanaopatikana Arsenal, Man United na Liverpool. lakini delph ana miaka 25 pekee ukilinganisha na kiwango chake ni hazina ya msingi katika kikosi cha man city.

kama manueli pellegrini ameweka mpango wa kumsajili kiungo huyo namwunga mkono, nakumbuka nusu fainali ya FA cup dhidi ya liverpool kiungo huyu alivyofanya vizuri hakika ni aina ya kiungo ambaye unahitaji kuwa naye kwenye timu. anastahili kucheza city, kama city haitafanikiwa kuwa na wilshere fabian delph ni mbadadala tosha.

kama atacheza na fernandinho na yaya toure akawa huru zaidi na david silva uwanjani nadhani city itarudia kwenye makali yake, hii itamfanya yaya toure afikirie mbinu zaidi za kuipa timu ushindi kama alivyofanya msimu wa 2013/14 hii italeta changamoto kubwa ya kuwania taji la barclays kwa wale vigogo wanne wa juu.

bila shaka huyu atakuwa nyota bora kati ya miamba bora pale Etihad nina iman city ikiwa na delph itakuwa na safu bora kiungo itakayoleta changamoto kubwa kwa wapinzani, na hii inaweza kuifanya city kuwa na kikosi bora msimu 2015/16 na kujitengenezea nafasi ya kuwa bingwa.


Sunday, June 21, 2015

sielewi kabisa ule mpira pale taifa stars
Na Kapinga EMANUELI
 jana nimeshangazwa na namna kocha wa timu ya taifa maarufu kama taifa stars alivyowapanga viungo ndani ya kikosi chetu, kwanza ni frank domayo, Erasto Nyoni na Amri kiemba alafu baadae tukawa na jonas mkude, Erasto Nyoni na Rashid Mandawa tukiwa tumeshafungwa goli mbili.
ndiyo mana nimeanza na kusema kuwa sielewi maana kama umeshafungwa goli mbili kuna haja gani ya kuwa na viungo wawili wagumu ndani ya timu, labda tungekuwa tunajitoa kama wenzetu Uganda tungepata goli la kuongoza tungetumia aina hiyo ya mfumo kujitoa wapinzani wasipate mwanya wa kusawazisha.
kocha Jose Mourinho ndiye fundi wa kupaki basi na kutumia zaidi viungo wakaidi ndani ya timu lakini wachezaji wake wanajituma, utakuta ana matic au na ramires lakini angalia kuanzia fabrigas, hazard, oscar au willian na diego costa au remy ni tofauti nna sisi. kama Mourinho angeona aina ya mpira tuliocheza hakika angesema sisi ni vichaa au wendaazim.
hata mourinho huweka wakina xhuma na kupunguza washambuliaji kwa sababu huwa ameshapata anachokiitaji mfano mzuri ni ushindi dhidi ya manchester united pale stamford bridge. mimi binafsi sikuona sababu ya kuwa na viungo wagumu kiasi hicho kwa sababu kwanza hatuwezi kumiliki mchezo licha ya kuwa na viungo wengi wengi kiasi hicho lakini pili tumeruhusu magoli matatu hakuna maana ya kuwa na mfumo huo.
kuna haja ya kuwa na kiemba ambaye hana uhakika wa kucheza katika kwenye klabu yake, free role ambaye hana msaada hawezi kumiliki mipira, na kuiunga timu dhidi ya washabuliaji wake, sioni kama kuna sababu lazma Erasto Nyoni acheze kwenye sehemu ya kiungo ikiwa  ikiwa timu inaweza kuwa na mkude au aina ya mtu kama shabani nditi.

Thursday, June 18, 2015

Google, Apple, Microsoft and Mozilla team up to create faster browsers

Engineers at GoogleAppleMicrosoft andMozilla are partnering to createWebAssembly (a.k.a wasm), a bytecodefor use in the browsers of the future that promises up to 20 times faster performance.
WebAssembly is a project to create a new bytecode (a machine-readable instruction set that’s quicker for browsers to load than high-level languages) that’s more efficient for both desktop and mobile browsers to parse than the full source code of a Web page or app.
Browsers currently use JavaScript to interpret code and enable functionality on websites such as forms and dynamic content. Improvements have been made to load times via asm.js, but bytecode-based systems like .NET are faster.
Proposed as a standard that could one day be implemented in all browsers, WebAssembly could bring app-like performance to Web content and apps.
Until WebAssembly becomes more widely available, the coalition of developers plan to bridge the gap with a JS script that will convert wasm to Mozilla’s widely supported asm.js for browsers that don’t support the new format yet.
WebAssembly is still very much in its early days: neither its specifications nor its high level design have been finalized yet. However, with major browser developers behind the project, it should see the light of day soon enough.

Wednesday, June 17, 2015

AFRICA'S RICHEST MAN (ALIKO DANGOTE) INTENDS TO BUY THE ENGLISH ARSENAL FOOTBALL CLUB

Aliko Dangote, Nigerian who is Africa's richest man intends to buy the English footbal club Arsenal, believing that he will lead it to a new direction.

Dangote, who made is billions out of sugar and oil believes that building of an oil refinery at his homeland Nigeria will give him the finance to secure a takeover.

The comments on social networks see both support and disapproval of Mr. Dangote's intentions. Some stating that it will be a wastage of his money and that he should take that OPPORTUNITY to develop Nigeria and Africa since poverty is of high presence. Other comments could read that Africa is so corrupt and Mr. Dangote should stay away from Arsenal.

Analtsis to these negative comments show high stereotype of some people to the continent of Africa. Manchester City is one of the English top teams that was taken by Abu Dhabi dons and much was not complained when the intentions were failed.

Maybe it is time for Africans to takeover different fields in the world and show that Africans can do it to. I believe Mr. Dangote was sure of his state and will to Why he went on announcing his intention.

Much is done in Africa to ELIMINATE poverty and with Mr. Dangote's will it is an evidence that Africans are trying to unfold new chapters.

KNOW ABOUT HUMAN PAPILLOMAVIRUS (HPV) A SEXUAL TRANSMITTED INFECTION

What is HPV?

HPV is the most common sexually transmitted infection (STI). HPV is a different virus than HIV and HSV (herpes). HPV is so common that nearly all sexually active men and women get it at some point in their lives. There are many different types of HPV. Some types can cause health problems including genital warts and cancers. But there are vaccines that can stop these health problems from happening.

How is HPV spread?

You can get HPV by having vaginal, anal, or oral sex with someone who has the virus. It is most commonly spread during vaginal or anal sex. HPV can be passed even when an infected person has no signs or symptoms.
Anyone who is sexually active can get HPV, even if you have had sex with only one person. You also can develop symptoms years after you have sex with someone who is infected making it hard to know when you first became infected.

Does HPV cause health problems?

In most cases, HPV goes away on its own and does not cause any health problems. But when HPV does not go away, it can cause health problems like genital warts and cancer.
Genital warts usually appear as a small bump or group of bumps in the genital area. They can be small or large, raised or flat, or shaped like a cauliflower. A healthcare provider can usually diagnose warts by looking at the genital area.

Does HPV cause cancer?

HPV can cause cervical and other cancers including cancer of the vulva, vagina, penis, or anus. It can also cause cancer in the back of the throat, including the base of the tongue and tonsils (called oropharyngeal cancer). 

Cancer often takes years, even decades, to develop after a person gets HPV. The types of HPV that can cause genital warts are not the same as the types of HPV that can cause cancers.

There is no way to know which people who have HPV will develop cancer or other health problems. People with weak immune systems (including individuals with HIV/AIDS) may be less able to fight off HPV and more likely to develop health problems from it.


How can I avoid HPV and the health problems it can cause?
You can do several things to lower your chances of getting HPV.
Get vaccinated. HPV vaccines are safe and effective. They can protect males and females against diseases (including cancers) caused by HPV when given in the recommended age groups (see â€Å“Who should get vaccinated?†below). HPV vaccines are given in three shots over six months; it is important to get all three doses.
Get screened for cervical cancer. Routine screening for women aged 21 to 65 years old can prevent cervical cancer.
If you are sexually active
  • Use latex condoms the right way every time you have sex. This can lower your chances of getting HPV. But HPV can infect areas that are not covered by a condom - so condoms may not give full protection against getting HPV;
  • Be in a mutually monogamous relationship or have sex only with someone who only has sex with you.

Who should get vaccinated?

All boys and girls ages 11 or 12 years should get vaccinated.
Catch-up vaccines are recommended for males through age 21 and for females through age 26, if they did not get vaccinated when they were younger.
The vaccine is also recommended for gay and bisexual men (or any man who has sex with a man) through age 26. It is also recommended for men and women with compromised immune systems (including people living with HIV/AIDS) through age 26, if they did not get fully vaccinated when they were younger.

How do I know if I have HPV?

There is no test to find out a person HPV status.Also, there is no approved HPV test to find HPV in the mouth or throat.
There are HPV tests that can be used to screen for cervical cancer. These tests are recommended for screening only in women aged 30 years and older. They are not recommended to screen men, adolescents, or women under the age of 30 years.
Most people with HPV do not know they are infected and never develop symptoms or health problems from it. Some people find out they have HPV when they get genital warts. Women may find out they have HPV when they get an abnormal Pap test result (during cervical cancer screening). Others may only find out once they have developed more serious problems from HPV, such as cancers.

How common is HPV and the health problems caused by HPV?

HPV (the virus): About 79 million Americans are currently infected with HPV. About 14 million people become newly infected each year. HPV is so common that most sexually-active men and women will get at least one type of HPV at some point in their lives.
Health problems related to HPV include genital warts and cervical cancer.
Genital warts: About 360,000 people in the United States get genital warts each year.
Cervical cancer: More than 11,000 women in the United States get cervical cancer each year.

I'm pregnant. Will having HPV affect my pregnancy?

If you are pregnant and have HPV, you can get genital warts or develop abnormal cell changes on your cervix. Abnormal cell changes can be found with routine cervical cancer screening. You should get routine cervical cancer screening even when you are pregnant.

Can I be treated for HPV or health problems caused by HPV?

There is no treatment for the virus itself. However, there are treatments for the health problems that HPV can cause:
  1. Genital warts can be treated by you or your physician. If left untreated, genital warts may go away, stay the same, or grow in size or number.
  2. Cervical precancer can be treated. Women who get routine Pap tests and follow up as needed can identify problems before cancer develops. Prevention is always better than treatment.
  3. Other HPV-related cancers are also more treatable when diagnosed and treated early. 

Tuesday, June 16, 2015

GOLDEN STATE WARRIORS- THE CHAMPS " THE NBA FINALS 2015"

GOLDEN STATE WARRIORS lifts the NBA CHAMPIONSHIP TROPHY after winning 4-2 game Series against THE CAVALIERS.

In the game that tipped off at Quicken Loans Arena saw The Golden BOYS securing 105 points to 97 of CAVS to take the TROPHY home.

Andre Iguodala was named THE 2015 NBA FINALS MOST VALUABLE PLAYER.

DONALD TRUMP STEPS IN US RUN FOR PRESIDENCY REPRESENTING THE REPUBLIC

Republican DONALD TRUMP announces his run for president of USA stating that " I don't need anybody's money... I'm using my own money"

It is no doubt if such statement was stated by Tanzanian politician with the intention of running for preaidency would reflect and attract negative comments from the public and the players too.

Most of the candidates Fear to state wheither they financing themselves in the run for president of Tanzania, knowing that they can be associated with embezzlement of public fund or a question to where did they get such amount.

The answer is, maybe with the nature of general poverty in Tanzania it is to Why this statement would be criticized.

Tanzania needs a government that would structure a plan that will be easily implemented in the next 20 years. The foundation of a better Tanzania should be built now since the years of freedom since 1961 failed to do so.

SOMETIMES YOUR BEST INVESTMENTS ARE THE ONES YOU DON'T MAKE- DONALD TRUMP


Fear of investment can be one huge obstacle between a person and his/her goals. Sometimes we have to dare and go for what we want, you never know what can be the outcome out of that step.

It is good to say " at least tried" than "I wish did that" God has a lot in store fir everyone so you never know what you are Missing in God's plan by fearing to invest.

Investment, be social, political, economical or any element can be achieved by a person who decides to walk all feet in. The bigger the risk the higher the outcome.

Take a decision today to structure your plan to investment, meet the right people to boost your ideas not THOSE who will discourage you ftom achieving your dream.

A thirst for SUCCESS is vital, nothing comes easy in life.

Fruitful results awaits THOSE who dare to try.

VOTE VOTE VOTE VOTE VOTE TANZANIA FOR DIAMOND (BEST MALE, COLLABORATION AND LIVE ACT) AND VEE MONEY ( BEST FEMALE)

It is anorher year, MTV AFRICA MUSIC AWARDS voting moments are on the process.

Make sure you cast your vote for Diamond and VEE money without forgetting Our East Africa comrades, Sauti Sol and Bebe Cool.

EAST AFRICA STAND UP, WE GOTTA WIN THIS.

LINK: mama.mtv.com/voting/

HAPPY BIRTHDAY TUPAC SHAKUR- HE WOULD OF BEEN 44 YEARS TODAY

The late famous United States of America Hip Hop LEGEND TUPAC Shakur, would of been 44 years today.

The murder of TUPAC began on the night of September 7, 1996, when the rapper was shot six times in a drive-by shooting in Las Vegas, Nevada. He died from his injuries six days later on September 13, 1996. His murder remains unsolved.

THE WARRIORS ARE A GAME AWAY TO SECURE THE NBA WIN IN 40 YEARS WHILE THE CAVS WILL BE LOOKING FORWARD TO FORCE A GAME SEVEN

Game six day is here, The NBA 2015 finals, the Warriors will be expecting to secure the win in 40 years while the CAVS will try all they can to force a game 7 and spoil the fun for the warriors.

The game will tip off at 3pm et in the Quicken Loans Arena.

Mohammed Morsi death sentence upheld by Egypt court

An Egyptian court has upheld the death sentence imposed on ousted ex-President Mohammed Morsi over a mass jailbreak.
The sentence was initially passed in May, but was confirmed after consultation with Egypt's highest religious figure, the Grand Mufti.
The death sentences of five other leading members of the Muslim Brotherhood, including its supreme guide Mohammed Badie, were also upheld.
Morsi's supporters have described the sentence as "farcical".
The verdict is subject to appeal. One hundred and one other defendants were also sentenced to death in absentia.
Morsi escaped from Wadi Natroun prison in January 2011 and was accused of colluding with foreign militants in a plot to free Islamists during mass prison breaks.
The 2011 uprising brought an end to Hosni Mubarak's 30-year rule and Morsi was elected president a year later.

Espionage

He was deposed by the army in July 2013 following mass street protests against his rule and is already serving a 20-year jail term for ordering the arrest and torture of demonstrators.
Morsi was also sentenced to life imprisonment by the same court on Tuesday for spying on behalf of foreign militant groups, including Hamas.
The judge said that the Muslim Brotherhood had "collaborated with Palestinian Hamas to infiltrate Egypt's eastern borders and attack prisons", state TV reported.
Sixteen other Muslim Brotherhood members were sentenced to death on charges of delivering secret documents abroad between 2005 and 2013.

SOURCE: BBC




@worldrecords ABANDONED CHINESE FISHING VILLAGE SWALLOWED BY NATURE

Sunday, June 14, 2015

WHO WILL WIN THE 2015 NBA FINALS WITH BOTH TEAMS (CAVS VS GOLDENS STATE) EVEN 2-2?

30 teams, 1 dream slogan will come to an end today as the CAVS will be taking GOLDEN STATE WARRIORS in game 5 with both teams even 2-2.

No doubt that it will be a thrilling game as the basketball fans expect much from CHIEF CURRY and KING JAMES to battle it up and secure a win.

The game will tip off at 8pm/ et on ABC based on USA time.

WITH EASY ACCESS OF INFORMATION AT OUR FINGER-TIPS, SOME STILL FIND IT HARD TO UTILIZE THE OPPORTUNITY





The question is, with means of communication advancing, how far has the society utilized the new means and contributed to development?

The world is facing numerous of changes in means of information from mobile phones, laptops, tablets, iPads, smart televisions and every tool that can be wired with the internet. Interactive platforms like Facebook, Instagram, Twitter, Linkedin, Youtube and many more add to the easy access of information to the mass society.

With such changes it is believed that some do take a step to manipulate such platforms and means and use them as a way to earn money. Unfortunately there is a group of children, youths and adults that fail to see the opportunity of such platforms and means apart from social interaction and entertainment.

The internet has a potential population that can satisfy any targeted market plan to a certain product or service. It is just a matter of creativity an individual has to come up with so as to use the population to his/her advantage.

The media serves as the bridge between the society and the information they intend to consume, there are various contents which do fit different attitudes. This article simply asks you to identify your purpose and know how you can use the means of information and the new platforms to your advantage.

The society needs to be more active and select what to consume from the media industry that can lead to development.

Major-key issues:

  • ·        The opportunity is at your finger-tips (Internet)
  • ·         Be creative
  • ·         Learn and advance your skills
  • ·         Eliminate yourself from bandwagons unless it is positive
  • ·         Have the urge to success
  • ·         Do not depend on one income
  • ·         Determine the means of linking your profession with the trending word online market


Let the new means of information change you in a positive way, do not be dragged with the false perception.



Tuache ubabaishaji kwenye, tujenge soka hai




Na EMANUELI KAPINGA.

Mara nyingi tunachagua viongozi ambao hawawezi kuwajibika katika soka, mfano mzuri ni kutoka Simba sports kamati ya usjili ina mzaa na maendeleo ya klabu,Simba iliingia kwenye mgogoro na Ramadhani Singano maarufu kama “messi” hii ni wazi kuwa hatuna watu makini wakushughulika na mikataba ya wachezaji. Katika nchi zilizoendelea huboresha mikataba ya wachezaji mwaka au miezi sita kabla ya kuelekea ukingoni kama wanahisi mchezaji ana thamani kwao hii ni kwa ajili ya kupata faida zaida kwa timu zikatakomwitaji kwa kuwa mkataba uko wazi.

Simba wasisikitike wamwache Singano aondoke, hakuna namna kwamba alikuwa na thamani kwao au walihiitaji kufanya kupata faida kupitia yeye hivyo hakuwa na thaman kwao wamwache aende au waweke pesa mezani waache ubabaishaji.
Nimesikitika kusikia eti Azam Tv ndiyo chanzo cha kushuka kwa mapato kutokana na watu kutofika uwanjani, tuache visingizio ambavyo havina msingi na badala yake tuangalie tatizo liko wapi, kuna vituo maarufu dunian kama Sky Sports,  Super Sport zinarusha ligi bora ulaya na mapato katika klabu hizo ni mengi.

Adui wa yote ni sisi wenyewe tuangalie tatizo letu liko wapi. Aina ya mpira unaochezwa hauvutii watazamaji kwenda viwanjani na hivyo wachezaji hupendelea kujaa viwanjani dhidi ya mechi tatu kati ya Simba, Azam na Yanga. Katika vituo vya azam watazamaji wengi pia hushindwa kumaliza baadhi ya mechi nyingi kutokana na soka kukosa mvuto.
Juzi katika tuzo za soka Tanzania kumezua vituko, mimi binafsi siwelewi Shabani Kado amewezaje kuwa goli kipa bora uku akiwa ametemwa na timu yake ya Coastal Union, ni wapi duniani kipa bora amewahi kutemwa kwenye timu yake, na yeye Mbwana Makata amewezaje kuwa kocha bora mbele Pluijim na Juma Mwambusi wa mbeya city tujiulize adui yetu ni nani ili tuweze kuleta mabadiliko katika soka letu la Tanzania.

Binafsi naumia kuyaona haya hatukuzi bali tunaua soka, hebu tuache ujanja ujanja, tuwe wa wataalam tuhamasishe soka bora, tusijali pesa kuwaweka viongozi ambao hawaelewi maana ya usajili au kanuni za soka au vyanzo vya maendeleo katika timu eti kisa ni shabiki wa muda mrefu na analipia kadi ya uanachama.