Saturday, June 27, 2015
Ni kitu gani wanahitaji liverpool wawe bora 2015/16
Liverpool sasa itakuwa na James milner, Daniel Sturridge, Divock Origi, Phillipe Coutinho, Roberto Firmino na Raheem Sterling kama hatoondoka klabuni hao wote wanategemewa kuongoza safu ya ushambuliaji katika kikosi cha brendan rodgers. kutokana mahitaji ya breandan rodgers ina wezekana akafanikiwa katika msimu ujao wa ligi kutoka na wachezaji hao wote kuwa na kasi katika kushambulia kama anavyohitaji.
Lakini liverpool haitakuwa na steven gerrard msimu mpya hivyo inabidi wapate kiungo mkabaji mwingine ambaye ataweza kudumisha ulinzi wa timu hiyo, hicho ni kibarua kigumu kwa Rodgers ingawa amekuwa na mipango ya kumsajili kiungo makabajji wa tiu ya real madrid Asier Illaramendi.
Licha ya safu ya kukaba lakini rodgers bado anahitaji mbadala wa Suarez, msimu wa 2014/15 umeonyesha ni namna gani Sturridge anahitaji mtu wa kumwongoza katika safu ya kushambulia kama ilivyokuwa yeye na Suarez, na ndiyo maana Rogers anaisaka kwa udi na uvumba sahihi ya mshambuliaji wa sevilla Carlos Bacca huku akiendelea kuifuatilia sahihi ya mshambuliaji wa Aston villa Christian Benteke kwa ajili ya kuimalisha safu a ushambuliaji katika timu hiyo ambayo haikufanya vizuri kama alivyokuwa Suarez.
Kama Liverpool itakuwa na kiungo imara kama enzi ya Mascherano na kupata mshambuliaji mkali kama Carlos Bacca nadhani tatizo la Liverpool litakuwa limeisha rasmi nahitaji maoni yako msomaji kwa upande wangu nadhani Liverpool inatkiwa kuziba mapengo hayo ili iweze kurudi kwenye ubora wake.
City haitegemei kuwa na Lampard, ukimwangalia yaya toure umri unazidi kwenda, fernado ni mzito si rahis kumudu aina ya mpira ya viungo wepesi zaidi hususani wanaopatikana Arsenal, Man United na Liverpool. lakini delph ana miaka 25 pekee ukilinganisha na kiwango chake ni hazina ya msingi katika kikosi cha man city.
kama manueli pellegrini ameweka mpango wa kumsajili kiungo huyo namwunga mkono, nakumbuka nusu fainali ya FA cup dhidi ya liverpool kiungo huyu alivyofanya vizuri hakika ni aina ya kiungo ambaye unahitaji kuwa naye kwenye timu. anastahili kucheza city, kama city haitafanikiwa kuwa na wilshere fabian delph ni mbadadala tosha.
kama atacheza na fernandinho na yaya toure akawa huru zaidi na david silva uwanjani nadhani city itarudia kwenye makali yake, hii itamfanya yaya toure afikirie mbinu zaidi za kuipa timu ushindi kama alivyofanya msimu wa 2013/14 hii italeta changamoto kubwa ya kuwania taji la barclays kwa wale vigogo wanne wa juu.
bila shaka huyu atakuwa nyota bora kati ya miamba bora pale Etihad nina iman city ikiwa na delph itakuwa na safu bora kiungo itakayoleta changamoto kubwa kwa wapinzani, na hii inaweza kuifanya city kuwa na kikosi bora msimu 2015/16 na kujitengenezea nafasi ya kuwa bingwa.
Friday, June 26, 2015
Sunday, June 21, 2015
Na Kapinga EMANUELI
jana nimeshangazwa na namna kocha wa timu ya taifa maarufu kama taifa stars alivyowapanga viungo ndani ya kikosi chetu, kwanza ni frank domayo, Erasto Nyoni na Amri kiemba alafu baadae tukawa na jonas mkude, Erasto Nyoni na Rashid Mandawa tukiwa tumeshafungwa goli mbili.
ndiyo mana nimeanza na kusema kuwa sielewi maana kama umeshafungwa goli mbili kuna haja gani ya kuwa na viungo wawili wagumu ndani ya timu, labda tungekuwa tunajitoa kama wenzetu Uganda tungepata goli la kuongoza tungetumia aina hiyo ya mfumo kujitoa wapinzani wasipate mwanya wa kusawazisha.
kocha Jose Mourinho ndiye fundi wa kupaki basi na kutumia zaidi viungo wakaidi ndani ya timu lakini wachezaji wake wanajituma, utakuta ana matic au na ramires lakini angalia kuanzia fabrigas, hazard, oscar au willian na diego costa au remy ni tofauti nna sisi. kama Mourinho angeona aina ya mpira tuliocheza hakika angesema sisi ni vichaa au wendaazim.
hata mourinho huweka wakina xhuma na kupunguza washambuliaji kwa sababu huwa ameshapata anachokiitaji mfano mzuri ni ushindi dhidi ya manchester united pale stamford bridge. mimi binafsi sikuona sababu ya kuwa na viungo wagumu kiasi hicho kwa sababu kwanza hatuwezi kumiliki mchezo licha ya kuwa na viungo wengi wengi kiasi hicho lakini pili tumeruhusu magoli matatu hakuna maana ya kuwa na mfumo huo.
kuna haja ya kuwa na kiemba ambaye hana uhakika wa kucheza katika kwenye klabu yake, free role ambaye hana msaada hawezi kumiliki mipira, na kuiunga timu dhidi ya washabuliaji wake, sioni kama kuna sababu lazma Erasto Nyoni acheze kwenye sehemu ya kiungo ikiwa ikiwa timu inaweza kuwa na mkude au aina ya mtu kama shabani nditi.
Thursday, June 18, 2015
Google, Apple, Microsoft and Mozilla team up to create faster browsers
Wednesday, June 17, 2015
AFRICA'S RICHEST MAN (ALIKO DANGOTE) INTENDS TO BUY THE ENGLISH ARSENAL FOOTBALL CLUB
Aliko Dangote, Nigerian who is Africa's richest man intends to buy the English footbal club Arsenal, believing that he will lead it to a new direction.
Dangote, who made is billions out of sugar and oil believes that building of an oil refinery at his homeland Nigeria will give him the finance to secure a takeover.
The comments on social networks see both support and disapproval of Mr. Dangote's intentions. Some stating that it will be a wastage of his money and that he should take that OPPORTUNITY to develop Nigeria and Africa since poverty is of high presence. Other comments could read that Africa is so corrupt and Mr. Dangote should stay away from Arsenal.
Analtsis to these negative comments show high stereotype of some people to the continent of Africa. Manchester City is one of the English top teams that was taken by Abu Dhabi dons and much was not complained when the intentions were failed.
Maybe it is time for Africans to takeover different fields in the world and show that Africans can do it to. I believe Mr. Dangote was sure of his state and will to Why he went on announcing his intention.
Much is done in Africa to ELIMINATE poverty and with Mr. Dangote's will it is an evidence that Africans are trying to unfold new chapters.
KNOW ABOUT HUMAN PAPILLOMAVIRUS (HPV) A SEXUAL TRANSMITTED INFECTION
What is HPV?
How is HPV spread?
Does HPV cause health problems?
Does HPV cause cancer?
- Use latex condoms the right way every time you have sex. This can lower your chances of getting HPV. But HPV can infect areas that are not covered by a condom - so condoms may not give full protection against getting HPV;
- Be in a mutually monogamous relationship or have sex only with someone who only has sex with you.
Who should get vaccinated?
How do I know if I have HPV?
How common is HPV and the health problems caused by HPV?
I'm pregnant. Will having HPV affect my pregnancy?
Can I be treated for HPV or health problems caused by HPV?
- Genital warts can be treated by you or your physician. If left untreated, genital warts may go away, stay the same, or grow in size or number.
- Cervical precancer can be treated. Women who get routine Pap tests and follow up as needed can identify problems before cancer develops. Prevention is always better than treatment.
- Other HPV-related cancers are also more treatable when diagnosed and treated early.
Tuesday, June 16, 2015
GOLDEN STATE WARRIORS- THE CHAMPS " THE NBA FINALS 2015"
GOLDEN STATE WARRIORS lifts the NBA CHAMPIONSHIP TROPHY after winning 4-2 game Series against THE CAVALIERS.
In the game that tipped off at Quicken Loans Arena saw The Golden BOYS securing 105 points to 97 of CAVS to take the TROPHY home.
Andre Iguodala was named THE 2015 NBA FINALS MOST VALUABLE PLAYER.
DONALD TRUMP STEPS IN US RUN FOR PRESIDENCY REPRESENTING THE REPUBLIC
Republican DONALD TRUMP announces his run for president of USA stating that " I don't need anybody's money... I'm using my own money"
It is no doubt if such statement was stated by Tanzanian politician with the intention of running for preaidency would reflect and attract negative comments from the public and the players too.
Most of the candidates Fear to state wheither they financing themselves in the run for president of Tanzania, knowing that they can be associated with embezzlement of public fund or a question to where did they get such amount.
The answer is, maybe with the nature of general poverty in Tanzania it is to Why this statement would be criticized.
Tanzania needs a government that would structure a plan that will be easily implemented in the next 20 years. The foundation of a better Tanzania should be built now since the years of freedom since 1961 failed to do so.
SOMETIMES YOUR BEST INVESTMENTS ARE THE ONES YOU DON'T MAKE- DONALD TRUMP
Fear of investment can be one huge obstacle between a person and his/her goals. Sometimes we have to dare and go for what we want, you never know what can be the outcome out of that step.
It is good to say " at least tried" than "I wish did that" God has a lot in store fir everyone so you never know what you are Missing in God's plan by fearing to invest.
Investment, be social, political, economical or any element can be achieved by a person who decides to walk all feet in. The bigger the risk the higher the outcome.
Take a decision today to structure your plan to investment, meet the right people to boost your ideas not THOSE who will discourage you ftom achieving your dream.
A thirst for SUCCESS is vital, nothing comes easy in life.
Fruitful results awaits THOSE who dare to try.
VOTE VOTE VOTE VOTE VOTE TANZANIA FOR DIAMOND (BEST MALE, COLLABORATION AND LIVE ACT) AND VEE MONEY ( BEST FEMALE)
It is anorher year, MTV AFRICA MUSIC AWARDS voting moments are on the process.
Make sure you cast your vote for Diamond and VEE money without forgetting Our East Africa comrades, Sauti Sol and Bebe Cool.
EAST AFRICA STAND UP, WE GOTTA WIN THIS.
LINK: mama.mtv.com/voting/
HAPPY BIRTHDAY TUPAC SHAKUR- HE WOULD OF BEEN 44 YEARS TODAY
The late famous United States of America Hip Hop LEGEND TUPAC Shakur, would of been 44 years today.
The murder of TUPAC began on the night of September 7, 1996, when the rapper was shot six times in a drive-by shooting in Las Vegas, Nevada. He died from his injuries six days later on September 13, 1996. His murder remains unsolved.
THE WARRIORS ARE A GAME AWAY TO SECURE THE NBA WIN IN 40 YEARS WHILE THE CAVS WILL BE LOOKING FORWARD TO FORCE A GAME SEVEN
Game six day is here, The NBA 2015 finals, the Warriors will be expecting to secure the win in 40 years while the CAVS will try all they can to force a game 7 and spoil the fun for the warriors.
The game will tip off at 3pm et in the Quicken Loans Arena.
Mohammed Morsi death sentence upheld by Egypt court
Espionage
Sunday, June 14, 2015
WHO WILL WIN THE 2015 NBA FINALS WITH BOTH TEAMS (CAVS VS GOLDENS STATE) EVEN 2-2?
30 teams, 1 dream slogan will come to an end today as the CAVS will be taking GOLDEN STATE WARRIORS in game 5 with both teams even 2-2.
No doubt that it will be a thrilling game as the basketball fans expect much from CHIEF CURRY and KING JAMES to battle it up and secure a win.
The game will tip off at 8pm/ et on ABC based on USA time.
WITH EASY ACCESS OF INFORMATION AT OUR FINGER-TIPS, SOME STILL FIND IT HARD TO UTILIZE THE OPPORTUNITY
- · The opportunity is at your finger-tips (Internet)
- · Be creative
- · Learn and advance your skills
- · Eliminate yourself from bandwagons unless it is positive
- · Have the urge to success
- · Do not depend on one income
- · Determine the means of linking your profession with the trending word online market



